MWENGE WA UHURU KUTUA KATAVI SEPT 23, 2025
Автор: Mpanda Radio Media
Загружено: 2025-09-20
Просмотров: 77
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka wananchi kudumisha amani na utulivu kuelekea mapokezi ya mwenge tarehe 23/9/2025.
Mwanamvua amesema kuwa mwenge wa uhuru utapokelewa katika kijiji cha ifumbula kata ya mishamo halmashauri ya wilaya ya Tanganyika na kukimbizwa katika miradi ya maendeleo iliyopo katika wilaya hiyo.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: