DKT BITEKO AITAKA ERB KUWATUNZA WAHANDISI ZAIDI BADALA YA KUWAADHIBU
Автор: BETE TV
Загружено: 2025-09-25
Просмотров: 43
Tafiti zinaonesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 ya ubunifu mpya wa teknolojia duniani unahusishwa moja kwa moja na taaluma ya uhandisi ambayo ndani yake hujumuisha masuala mbalimbali ikiwemo Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Nishati, viwanda na akili mnemba.
Hayo yamebainishwa Septemba 25, 2025 jijini Dar es Jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko alipomwakilisha Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa kufungua Maadhimisho ya 22 ya Siku ya Waandisi kwa Mwaka 2025.
Amesema kuwa Serikali inawahitaji na kuwategemea wahandisi nchini ambao wana fursa ya kuchangia maendeleo ya nchi kupitia utekekezaji wa majukumu yao.
Dkt. Biteko ameongeza kuwa zaidi ya asilimia 90 ya uvumbuzi na maendeleo ya viwanda huhitaji huduma ya wahandisi moja kwa moja.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: