FAIDA ZA URAIA PACHA (Dual Citizenship) KWA TANZANIA
Автор: EBM SWAHILI
Загружено: 2021-08-08
Просмотров: 3333
#uraiapacha #Tanzania #uraia
Hivi karibuni, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania kazungumza jinsi wizara inavyoshughulia suala la uraia pacha au hadhi maalum kwa Watzanania waliochukua uraia wa nchi nyingine na kukoma kuwa Watanzania.
Nilikuwa nafanya YouTube Livestream ambapo watu walikuwa wanataka kujua faida na changamoto za mtu kuwa na uraia wa nchi mbili au hadhi maalum kwa Watanzania hao.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: