Kalonzo Musyoka aitaka ODM kujihadhari na serikali
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2025-12-06
Просмотров: 6298
Muungano wa Upinzani umewataka viongozi wa chama cha ODM kujirejelea na kutathimini Upya uwepo wao ndani ya Serikali. Wakiongozwa na kinara wa wiper kalonzo musyoka na kinara wa dap-k eugene wamalwa, viongozi hao wamewataka wanaODM kufuata azma ya hayati Raila Odinga Kuhusu ODM kuwa na Mgombea wa Urais kwenye uchaguzi wa mwaka wa 2027.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: