Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

Kilimo cha Azolla Tanzania |Punguza gharama ya malisho ya mifugo tumia AZOLLA|

Автор: Shamba Darasa TV

Загружено: 2022-09-29

Просмотров: 2313

Описание:

JINSI YA KUZALISHA AZOLLA KWA CHAKULA CHA KUKU
Habari Ndugu Mfugaji popote pale ulipo, jifunze jinsi ya kuzalisha azolla kwa chakula cha kuku na Mkulimastar.
.
Kwa maeneo mengi sana hapa nchini imekuwa changamoto hupatikanaji pamoja na bei za vyakula vya kuku, na watu wengi wamekuwa wakipata wakati mgumu na kufanya ufugaji kuwa na changamoto nyingi na hata kuhahirisha kufanya ufugaji.
Bali sasa vitambue vyakula ambavyo mfugaji unaweza zalisha katika mazingira yake kwa lengo la kulisha kuku wake.
Vifuatavyo ni vyanzo vya chakula ambavyo vyaweza tumika kulisha kuku.
MMEA WA AZOLA.
Huu ni mmea ambao hukua ndani ya muda mfupi na uweza lisha mfugo wako wa kuku na kuwapatia chanzo kizuri cha protini pamoja na viini lishe vinginevyo.
MAZINGIRA YA UZALISHAJI
Eneo ambalo litatumika hakikisha lina funikwa vyema kuweza zuia upotevu mkubwa wa maji, na kuchanganyana na uchafu wa ain ayeyote.
Eneo lisiwe na shughuli nyingine kuepuka kuchanganyikana na uchafu mwingine pamoja na sumu zingine.
Jinsi ya kuotesha.
1. Andaa bwawa square mita 18 kina futi 1.5 au chombo chochote chenye ukubwa wowote unao endana na ukubwa wa eneo ulilo nalo.
2. Kisha weka nailoni ngumu au turubahi ambalo lituzuia kupotea kwa maji Kunywea chinina Baada ya hapo weka samadi udongo kilo 27-30 mbichi ya ng`ombe ambayo itachukua eneo la inchi 10, ondoa uchafu wote hutakao jitokeza baada ya kuweka samadi juu ya maji hayo.
3. kisha weka mbegu kiasi cha kilo tatu (3), katika bwawa hilo maalumu.
4. Baada ya azola kuota Subiri kuvuna baada ya siku 15 kwa Mara ya kwanza baada ya hapo utakuwa ukivuna kila baada ya siku 2-3 kwa zaidi ya mwaka anza kuvuna na kuwapatia kuku wako, baada ya hapo anza kulisha kulingana na wingi wa mifugo ulio nao.

NAMNA YA KUWALISHA.
Kuna namna mbili kuu za kuwalisha kuku,
1. Namna ya kwanza kwa kuwapatia kwa kuchanganya na vyakula vingine kwa kuweka azolla kilo 50, pumba kilo 25, na kilo 25 za chakula cha madukani/ ulichochanganya mwenyewe ili kupata kilo 100

2. Namna ya pili kwa kuwapatia Chakula cha Azolla tu bila chakula kingine.

CHUO CHA MIPANGO
2) AZOLLA

KILIMO CHA CHAKULA BORA CHA MIFUGO KINACHOKUA NA KUVUNWA KILA BAADA YA SIKU (3) TATU TU

Kwetu utapata:

Elimu na utaalam wake

Vitalu vyakuhamishika vyakulimia Azolla (Growbed)

Kuandaliwa bwawa la azolla

Mbegu bora ya Azolla

Bidhaa zake (Vyakula vya mifugo)


LIMA AZOLLA

UPUNGUZE GHARAMA ZA KULISHA MIFUGO YAKO NA UPATE MATOKEO BORA ZAIDI

Azolla ni mmea ambao umethibitika kuwa Chakula bora kwa mifugo na cha gharama nafuu kwani ni mmea rahisi kulima,wenye kutumia eneo dogo na hukua haraka nakuvunwa kila baada ya siku 2-3 tu. Chakula hiki kipo kwenye mfumo wa majani na huwa na virutubisho kwa wingi vya Protini, Vitamins A & B12, amino asidi pamoja na madini mbalimbali ya Calcium, Potassium, Magnesium, Phosphorous na mengineyo mengi.

Chakula hiki cha Azolla huwezakutumika kulisha mifugo mbalimbali kama vile kuku wa Kienyeji, Broilers,Layers, Kuroiler, Malawi, Sasso pia mifugo mingine Kama Bata, Ng'ombe, Nguruwe, Mbuzi, Kondoo, Farasi, Sungura na pia ni chakula kizuri sana kwa Samaki wanaofugwa kwenye mabwawa kama Kambale (Afican Catfish), Sato (Tilapia)n.k


BAADHI YA FAIDA ZA KULISHA AZOLLA KWA MIFUGO YAKO.


1) Kupunguza gharama za chakula kwa mifugo yako kati ya 20% Haswa wafugaji wa kuku wakisasa.


2)Azolla kwa kuku inawasaidia kuongeza kiasi cha utagaji wa mayai na mayai huwa na ubora kwa kuwa na kiini cha njano.


3) Husaidia kupunguza kiasi cha mafuta kwa Ng'ombe na hupelekea kuongeza kiasi cha maziwa kwa Ng'ombe kuanzia 15% -25% na maziwa hayo huwa na ubora wa hali ya juu. ( Low butterfatty)


4) Vile vile inasaidia kupunguza magonjwa kwa mifugo kama Ng'ombe kwa kupunguza magonjwa ya Kimea ambayo huathiri kiwanda cha maziwa kwa Ng'ombe ( Chuchu za Ng'ombe)


5) Azolla pia inasaidia kujenga afya nzuri kwa mifugo yote inayotumia AZOLLA.


6) Ni chakula rahisi kumeng’enywa na mifumo ya chakula ya wanyama aina zote.


7)Huchangia kwenye ukuaji wa haraka wa mifugo mbalimbali.


8) Mbali na Faida kwa mifugo pia Azolla ni mbolea nzuri kwa ajili ya kilimo cha Mbogamboga na mazao mengineyo.


#mkulimasmart
#shambadarasa

Kilimo cha Azolla Tanzania |Punguza gharama ya malisho ya mifugo tumia AZOLLA|

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

KILIMO CHA AZOLLA, NJIA YA KUOKOA GHARAMA ZA UFUGAJI, FAIDA KWA MIFUGO, KilimoPro

KILIMO CHA AZOLLA, NJIA YA KUOKOA GHARAMA ZA UFUGAJI, FAIDA KWA MIFUGO, KilimoPro

KILIMO CHA AZOLLA |Jua jinsi ya kupanda,kuvuna na kulisha AZOLLA|

KILIMO CHA AZOLLA |Jua jinsi ya kupanda,kuvuna na kulisha AZOLLA|

How to Grow Chinese Kale Hydroponically | DIY No Soil No Pump

How to Grow Chinese Kale Hydroponically | DIY No Soil No Pump

harvesting, drying, & feeding chicken with 4000kg of #azolla; the game changer Commercial Layers

harvesting, drying, & feeding chicken with 4000kg of #azolla; the game changer Commercial Layers

PATA ZAIDI YA MIL.  10 KWENYE KILIMO CHA MIHOGO

PATA ZAIDI YA MIL. 10 KWENYE KILIMO CHA MIHOGO

TUMIA MAJANI HAYA KUONGEZA UZITO WA SUNGURA KWA HARAKA

TUMIA MAJANI HAYA KUONGEZA UZITO WA SUNGURA KWA HARAKA

ЭТИ законы изменят ВСЕ! / Что ждет КАЖДОГО уже с 1 января 2026?

ЭТИ законы изменят ВСЕ! / Что ждет КАЖДОГО уже с 1 января 2026?

TATESA EP19 - UFUGAJI WA MENDE, KIPATO CHA UHAKIKA, FURSA ZA AJIRA, KILO MOJA ELFU 70

TATESA EP19 - UFUGAJI WA MENDE, KIPATO CHA UHAKIKA, FURSA ZA AJIRA, KILO MOJA ELFU 70

Зарабатывайте деньги с Azolla | Руководство по фермерству Azolla 🌱🌸

Зарабатывайте деньги с Azolla | Руководство по фермерству Azolla 🌱🌸

Владимирович, на лошадях ТЕПЕРЬ ТОЧНО КИЕВ ВОЗЬМЕМ

Владимирович, на лошадях ТЕПЕРЬ ТОЧНО КИЕВ ВОЗЬМЕМ

How to Grow Azolla At Home | Azolla Farming

How to Grow Azolla At Home | Azolla Farming

Побег невозможен: Как инуиты выживают в суровых условиях Арктики.

Побег невозможен: Как инуиты выживают в суровых условиях Арктики.

How to feed your Black-soldier fly larvae from eggies to maturity. #ProteinMaster

How to feed your Black-soldier fly larvae from eggies to maturity. #ProteinMaster

How Azola Cut Our Pig Feed Costs by 90%!

How Azola Cut Our Pig Feed Costs by 90%!

azolla. the gift that keeps on giving

azolla. the gift that keeps on giving

TENGENEZA CHAKULA CHA KUKU CHENYE UBORA NA GHARAMA NAFUU

TENGENEZA CHAKULA CHA KUKU CHENYE UBORA NA GHARAMA NAFUU

Kilimo cha Azora;  Jinsi ya kuandaa AZOLLA, huongeza Protin na Vitamin  kwa mifugo yako

Kilimo cha Azora; Jinsi ya kuandaa AZOLLA, huongeza Protin na Vitamin kwa mifugo yako

KnowledgeTv by ESRF S01E44 - Jinsi ya Kulima na Kuvuna Azolla ( Chakula cha Mifugo na Mbolea)

KnowledgeTv by ESRF S01E44 - Jinsi ya Kulima na Kuvuna Azolla ( Chakula cha Mifugo na Mbolea)

Jinsi ya kupanda azolla pat 1

Jinsi ya kupanda azolla pat 1

Кого краще утримувати у господарстві: що простіше і вигідніше у 2025 році?

Кого краще утримувати у господарстві: що простіше і вигідніше у 2025 році?

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]