MUNGU WANGU!!! Chid Benz Anaswa Laivu Na Polisi Akinunua Unga, Jionee Mwenyewe
Автор: Global TV Online
Загружено: 2017-08-16
Просмотров: 77666
SUBSCRIBE NOW / uwazi1
RAPA Rashid Makwiro maarufu kama Chid Benz na wenzake saba, wamekamatwa na Jeshi la Polisi tangu Jumamosi baada ya kukutwa na dawa za kulevya maeneo ya Kariakoo jijini Dar, ikiwa ni siku chache baada ya kuhusishwa kurudia matumizi ya madawa hayo.
Jeshi la Polisi limethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba msanii huyo na wenzake wanaendelea kushikiliwa katika Kituo cha Polisi Msimbazi kwa mahojiano na upelelezi zaidi.
Tukio hilo limetokea siku chache baada ya Chid Benz kurejea uraiani, akitokea sobber house alikopelekwa baada ya kutopea kwenye matumizi ya madawa hayo, kiasi cha afya yake kuyumba sana.
Soma habari Kamili Kesho katika Gazeti la Risasi Mchanganyiko.
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: