#UDSMLIVE
Автор: MLIMANI TV UDSM
Загружено: 2021-05-27
Просмотров: 4823
Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam (#UDSM) kinatimiza miaka sitini (60) na 27/05/2021 tutakuwa na mahafali ya hamsini na moja (51) duru ya kwanza kwa shahada za uzamili na shahada za awali katika udaktari wa binadamu (Medical Officers) kutoka chuo chetu ndaki ya Tiba za afya na wanadamu ya Mbeya #MCHAS.
Mahafali haya yatafanyika ukumbi wa Mlimani City Saa tano Asubuhi (11:00 AM).
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: