Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

Maadhimisho ya siku ya watu wenye ulemavu, RC Morogoro atoa wito.

Автор: RS MOROGORO

Загружено: 2025-12-03

Просмотров: 140

Описание:

Maadhimisho ya siku ya watu wenye ulemavu, RC Morogoro atoa wito.

Leo Disemba 3, 2025 yamefanyika maadhimisho ya siku ya watu wenye Ulemavu kitaifa hapa katika Manispaa ya Morogoro huku mgeni rasmi akiwa ni Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Adam Kighoma Malima ambaye ametumia fursa ya maadhimisho hayo kuzitaka Halmashauri kutenga fedha kwa ajili ya kuimarisha huduma za afya kwa kundi la watu wenye ulemavu.

Akibainisha zaidi Mhe. Malima amesema, kumekuwa na tabia ya baadhi ya watumishi wa ngazi ya halmashauri kutotenga fedha kwa ajili ya watu wenye ulemavu na kuwataka kutenga fedha hizo kwa sababu kundi hilo lina haki sawa na watu wengine huku akisema fedha hizo zitawasaidia kupata vifaa tiba vitakavyowasaidia.

Aidha, Mhe. Malima amesema Serikali ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeendelea kujali kundi hilo, ambapo kwa mwaka wa fedha 2024/25 kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 238 kilitolewa kwa vyama 13 na Shirikisho la SHIVYAWATA.

Aidha ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kutunza amani, kwani amani ikitoweka wahanga wakubwa ni watu wenye ulemavu. Hivyo ni jukumu la kila mmoja kuendelea kuilinda amani ya Tanzania kwa wivu mkubwa.

“Tunahitaji amani; sisi walemavu hatuwezi kukimbia,” amesisitiza Mhe. Adam Malima.

Kwa upande wake, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii ,Jinsia ,Wanawake na Makundi Maalum,Wakili Amon MpanjuMhe. Amon Mpanju, amewataka viongozi wa dini, mashirika yasiyo ya kiserikali, washawishi wa mitandao, wasanii na viongozi wa siasa kutumia majukwaa yao kuhubiri amani kwa kuwa ndio nguzo ya Taifa.

Naye Bw. Hamadi Abdallah, akimwakilisha Kaimu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA), amesema Serikali haina budi kufanya mapitio ya Sera inayohusu Watu Wenye Ulemavu ya mwaka 2004, kuzindua mwongozo wa huduma za afya kwa watu wenye ulemavu na mwongozo wa taifa wa ufikivu, ambayo yatachagiza ujenzi wa jamii jumuishi ya watu wenye ulemavu.

Kaulimbiu ya maadhimisho hayo ni “Kuendeleza jamii jumuishi kwa watu wenye ulemavu: mstakabali wa ustawi wa jamii.”

Mwisho.

Maadhimisho ya siku ya watu wenye ulemavu, RC Morogoro atoa wito.

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

NDEGE TANO ZAKAMILIKA, KIWANDA CHA KUTENGENEZA NDEGE MORO,

NDEGE TANO ZAKAMILIKA, KIWANDA CHA KUTENGENEZA NDEGE MORO, "ZINAKAA ANGANI SAA SABA"

Я съездил на рынок разведенных женщин в Мавритании 🇲🇷 самый необычный рынок

Я съездил на рынок разведенных женщин в Мавритании 🇲🇷 самый необычный рынок

WAZIRI SIMBACHAWENE KUHUSU MAANDAMANO KESHO - ''NI MAPINDUZI SIO MAANDAMANO - WASITHUBUTU''...

WAZIRI SIMBACHAWENE KUHUSU MAANDAMANO KESHO - ''NI MAPINDUZI SIO MAANDAMANO - WASITHUBUTU''...

Jamaa kaigilizia sauti ya Jakaya Kikwete mpaka Watu wakacheka

Jamaa kaigilizia sauti ya Jakaya Kikwete mpaka Watu wakacheka

RC MALIMA ATEMA CHECHE MGOGORO WA BARABARA, ATOA SIKU 7 KUMALIZIKA.

RC MALIMA ATEMA CHECHE MGOGORO WA BARABARA, ATOA SIKU 7 KUMALIZIKA.

Morogoro kuimarisha ushirikiano na Zanzibar katika nyanja ya kilimo.

Morogoro kuimarisha ushirikiano na Zanzibar katika nyanja ya kilimo.

Jeshi la polisi Tanzania lapiga marufuku maandamano ya Desemba 9. Katika Dira ya Dunia TV

Jeshi la polisi Tanzania lapiga marufuku maandamano ya Desemba 9. Katika Dira ya Dunia TV

SIKU RAIS MAGUFULI ALIVYOZINDUA KIWANDA CHA NGOZI CHA ROSTAM AZIZ-

SIKU RAIS MAGUFULI ALIVYOZINDUA KIWANDA CHA NGOZI CHA ROSTAM AZIZ- "UTAKUMBUKWA KWA MENGI MAZURI"

““KILAKALA” - A Village Within the City of Morogoro | Tanzania is Blessed 2024 | 4K Quality

““KILAKALA” - A Village Within the City of Morogoro | Tanzania is Blessed 2024 | 4K Quality

Rais Magufuli Alivyokagua Ujenzi wa Daraja la Mto Kiyegeya, Kilosa Mkoani Morogoro

Rais Magufuli Alivyokagua Ujenzi wa Daraja la Mto Kiyegeya, Kilosa Mkoani Morogoro

MSIKILIZE MAMA TERRY AFUNGUKA MAZITO KUHUSU OKTOBA 29

MSIKILIZE MAMA TERRY AFUNGUKA MAZITO KUHUSU OKTOBA 29

Vijana wa Kitanzania watengeneza ndege 9 kwa mikono yao

Vijana wa Kitanzania watengeneza ndege 9 kwa mikono yao

Dkt. Ashatu Kijaji aitaka TAWA kuongeza ubunifu wa kutangaza vivutio.

Dkt. Ashatu Kijaji aitaka TAWA kuongeza ubunifu wa kutangaza vivutio.

RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU

RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU

#HUU HAPA MSIMAMO WA SERIKALI KUHUSU MAANDAMANO YA DISEMBA 9-

#HUU HAPA MSIMAMO WA SERIKALI KUHUSU MAANDAMANO YA DISEMBA 9- "Maandamano hayo ni Mapinduzina"

Как Мстят Умные Люди? Беспроигрышная тактика! | Еврейская Мудрость

Как Мстят Умные Люди? Беспроигрышная тактика! | Еврейская Мудрость

JESHI LA POLISI LABAINI KILICHOJIFICHA DESEMBA 9

JESHI LA POLISI LABAINI KILICHOJIFICHA DESEMBA 9

WAUA MLINZI, KISA CHATAJWA

WAUA MLINZI, KISA CHATAJWA

WATU 20 WAMEKAMATWA MOROGORO KWA TUHUMA ZA UTAPELI, MBINU ZA UGANGA NA HUDUMA ZA SIMU ZATAJWA

WATU 20 WAMEKAMATWA MOROGORO KWA TUHUMA ZA UTAPELI, MBINU ZA UGANGA NA HUDUMA ZA SIMU ZATAJWA

Он хотел унизить ислам, но через 5 минут...

Он хотел унизить ислам, но через 5 минут...

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]