Makalla Asema Katibu BAWACHA Alipigwa ‘Bonge la Ngumi’, Achangisha Wana CCM, 'Hata Lissu Tulichanga'
Автор: The Chanzo
Загружено: 2025-03-28
Просмотров: 5623
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla, leo Machi 28, 2025, ameongoza zoezi la kumchangia Katibu Mwenezi wa BAWACHA, Sigrada Mligo, anayedaiwa kupigwa na wanachama wenzake wa CHADEMA.
Makalla amedai kuwa amezungumza na Sigrada na amemueleza kuwa anaendelea vizuri lakini anahitaji kwenda kwenye matibabu ya zaidi, ndiyo maana ameguswa kumchangia ili akatibiwe.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: