Bendi ya JWTZ ilivyonogesha mahafali Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
Автор: Daily News Digital
Загружено: 2020-11-27
Просмотров: 25042
#MNMA #JWTZ #MwalimuNyerereAcademy #Graduation @DailyNewsDigital
BENDI ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) yageuka kuwa kivutio walipokuwa wakitoa burudani ya kumsindikiza mgeni mgeni rasmi ambaye ni mwenyekiti wa bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Steven Wasira akiwa pamoja na Mkuu wa Chuo hicho Prof. Shadrack Mwakalila. @DailyNewsDigital
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: