#LIVE
Автор: The Chanzo
Загружено: 2025-12-24
Просмотров: 11
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefanya ziara ya kushtukiza katika Kivuko cha Magogoni jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kukagua hali ya utoaji wa huduma za usafiri wa majini na kujionea changamoto zinazowakabili wananchi wanaotumia kivuko hicho kila siku.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: