Kanisa la Muji wa Makimbilio lashika inchi ya Uganda: Matawi 14 tayari yamefunguliwa
Автор: NURU RTV News
Загружено: 2025-05-20
Просмотров: 436
Injili yake Kristo na mitume ambayo kwasasa niya upinduzi, iliyo letwa naye Nabii MULINDWA Jules inasonga mbele. Baada yakuangaziya mikoa 26 za DRC kanisa hili yamekwisha fika inchini Uganda ambapo walio fungwa kwa Muda murefu wako napata ugungulivu nakuzidi kuongezeka. Tatari matawi 14 yamesha funguliwa
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: