Maafisa wa usalama washika doria katika boma la muhubiri tata Paul Mackenzie mjini Kilifi
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2023-05-02
Просмотров: 104771
Maafisa wa polisi wanaendelea kushika doria katika boma la muhubiri tata Paul Mackenzie mjini Kilifi. Hii ni baada ya makazi yake na kanisa lililofungwa mwaka 2019 kuvamiwa hapo jana.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: