BREAKING: Majambazi wanne wauawa na polisi Kariakoo DSM usiku huu
Автор: Millard Ayo
Загружено: 2017-05-19
Просмотров: 814904
Jeshi la polisi Dar es salaam limewaua majambazi wanne ambao walikuwa wakivamia maduka Kariakoo, Mtaa wa Aggrey/ Livingstone. Mashuhuda wa tukio hilo wameeleza kuwa majibizano ya risasi kati ya polisi na majambazi yamechukua takribani dakika 10.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: