Waridi wa BBC: 'Sikuweza kula wala kunywa chochote katika siku tatu nilizobakwa'
Автор: BBC News Swahili
Загружено: 2021-10-20
Просмотров: 7063
Mchungaji Cecilia Muthoni Ssewagaba, alibakwa akiwa na miaka 17 na tukio hilo hatawahi kulisahau maishani mwake. Lakini tukio hili ambalo alilipitia utotoni limeacha kovu moyoni mwake, lakini bila shaka halikumkatisha tamaa ya kusonga mbele na maisha na kuwasaidia wengine waliopitia masaibu kama yake.
#bbcswahili #waridiwabbc #wanawake
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: