MATHAYO 3: MAHUBIRI YA YOHANA MBATIZAJI
Автор: SIRI ZA BIBLIA
Загружено: 2021-03-01
Просмотров: 14170
#Yohana#Mbatizaji#Yesu#Yordani
Siku zile Yohane Mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea: Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia.” Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema:
“Sauti ya mtu anaita jangwani:
‘Mtayarishieni Bwana njia yake,
nyosheni barabara zake.’”
Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia, na ukanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni. Basi, watu kutoka Yerusalemu, kutoka pande zote za Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani, walimwendea, 6wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: