Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

RAIS MWINYI NA MRADI WA UMEME ZANZIBAR

Автор: Tifu Tv

Загружено: 2025-10-01

Просмотров: 1875

Описание:

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendeleza Miradi mbalimbali ya kimkakati katika Sekta ya Nishati ili kuifanya Zanzibar kuwa na Umeme wa Uhakika.

Ameeleza kuwa Hatua hiyo kwa kiasi kikubwa itachochea kasi ya Ukuaji wa Uchumi ,Huduma bora za Umeme kwa Wananchi na Upatikanaji wa Umeme wa Uhakika katika maeneo ya Uwekezaji.

Rais Dkt, Mwinyi ameyasema hayo alipouzindua Mradi wa Uboreshaji wa Mfumo wa Umeme Zanzibar hafla iliofanyika Mtoni, Mkoa wa Mjini Magharibi.

Rais Dkt, Mwinyi amesema Uzinduzi huo ni Ishara na nia njema ya Serikali ya Utekelezaji wa Ahadi zake kwa Wananchi na kuondosha Changamoto ya kukatika kwa Umeme na Umeme mdogo katika maeneo mbalimbali na kupunguza gharama za Uendeshaji.

Aidha amesema Serikali itachukua hatua za makusudi za Ujenzi wa Miundombinu mengine mipya ikiwemo Umeme wa Jua na Upepo pamoja na mitambo ya kusambaza Umeme kwa Wananchi ikiwa lengo ni kuhakikisha takriban Wananchi 70,000 wanafikiwa na Nishati hiyo.

Rais Dkt, Mwinyi amewahakikishia Wananchi kuwa katika muda mfupi Ujao gharama za Kuunganisha Umeme Majumbani itakuwa Shilingi 100,000 badala ya Shilingi 200,000 za sasa.

Rais Dķt, Mwinyi ameeleza mikakati mengine kuwa kuviunganisha na Nishati ya Umeme Visiwa Vidogo vidogo vya Njau na Kokota pamoja na kukamilisha Mradi mkubwa wa Nyaya za Umeme wa Chini ya Bahari kwa ajili ya Kisiwa cha Pemba.

Rais Dķt Mwinyi ameipongeza Wizara ya Maji ,Nishati na Madini na Kampuni ya NOVASIS INTERNATIONAL kwa Usimamizi mzuri na kukamilisha Mradi huo kwa wakati na kutoa wito wa kutunzwa kwa mradi huo ili ulete tija na kusimamia miradi mengine ili ikamilike kwa wakati.

Akizungumza katika hafla hiyo Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Nishati na Madini Joseph Kilangi amesema Mradi huo uliogharimu Dola za Marekani Milioni 8.4. ambao kukamilika kwake kumeiwezesha Zanzibar sasa kupokea Umeme kutoka Tanzania Bara wa kiwango cha 132 KV kutoka 114 KV iliokuwa ikipokea awali.

Akitoa Taarifa ya Kitaalamu Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme ( ZECO) Nd,Haji Haji amesema Mradi huo ni miongoni mwa miradi ya Kimkakati ya Shirika hilo unaoongeza thamani ya huduma ya Umeme na kuchochea Kasi ya Ukuaji wa Uchumi pia Utapunguza Upotevu wa Umeme na kumaliza Tatizo la Umeme katika Maeneo ya Uwekezaji.

RAIS MWINYI NA MRADI WA UMEME ZANZIBAR

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

Китай показал первый летающий автомобиль в мире, только взгляните…

Китай показал первый летающий автомобиль в мире, только взгляните…

Ifahamu historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Ifahamu historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

#DKT MWINYI AJENGA DARAJA LA KILOMITA 2 KISIWA CHA UZI

#DKT MWINYI AJENGA DARAJA LA KILOMITA 2 KISIWA CHA UZI

MFUMO WA MABORESHO YA UMEME ZANZIBAR

MFUMO WA MABORESHO YA UMEME ZANZIBAR

ZANZIBAR KUZALISHA UMEME WA UPEPO

ZANZIBAR KUZALISHA UMEME WA UPEPO

ТРАМП и Виткофф обсуждают

ТРАМП и Виткофф обсуждают "мирный" план путина 😁 [Пародия]

MADEREVA WA MAGARI MAKUBWA WAIPONGEZA SERIKALI UJENZI WA SKANA MUTUKULA

MADEREVA WA MAGARI MAKUBWA WAIPONGEZA SERIKALI UJENZI WA SKANA MUTUKULA

#DKT. MWINYI KUIRUDISHA ZNZ KWENYE ASILI YAKE

#DKT. MWINYI KUIRUDISHA ZNZ KWENYE ASILI YAKE

MKUTANO MKUBWA WA KAMPENI ZA CCM MAKOMBENI PEMBA MGENI RASMI DK.HUSSEIN MWINYI.

MKUTANO MKUBWA WA KAMPENI ZA CCM MAKOMBENI PEMBA MGENI RASMI DK.HUSSEIN MWINYI.

СЕЙЧАС! Путин вылез из БУНКЕРА и ответил на МИРНЫЙ ПЛАН США! Россию ЗАГНАЛИ в УГОЛ!

СЕЙЧАС! Путин вылез из БУНКЕРА и ответил на МИРНЫЙ ПЛАН США! Россию ЗАГНАЛИ в УГОЛ!

RAIS MWINYI AZINDUA BANDARI MPYA ZANZIBAR l HII APA BANDARI KAVU

RAIS MWINYI AZINDUA BANDARI MPYA ZANZIBAR l HII APA BANDARI KAVU

Почему внуков Пророка предали и убили? Тайна, расколовшая Ислам.

Почему внуков Пророка предали и убили? Тайна, расколовшая Ислам.

Uchaguzi Tanzania: 'Watu Zanzibar wanataka mageuzi, tuna uhakika wa kushinda'

Uchaguzi Tanzania: 'Watu Zanzibar wanataka mageuzi, tuna uhakika wa kushinda'

Steve Na Ndaro Kuchekesha Kimewaramba Leo

Steve Na Ndaro Kuchekesha Kimewaramba Leo

Zanzibar, eneo na mipaka yake kwa mtazamo wa kisheria na kihistoria-URITHI WETU (Episode 1):

Zanzibar, eneo na mipaka yake kwa mtazamo wa kisheria na kihistoria-URITHI WETU (Episode 1):

UJENZI WA KITUO CHA UKAGUZI WA MAGARI MARUHUBI ZANZIBAR UKIENDELEA

UJENZI WA KITUO CHA UKAGUZI WA MAGARI MARUHUBI ZANZIBAR UKIENDELEA

UTENZI MWENGINE MKALI UNAOMCHOKOZA RAIS MWINYI ACT WAZALENDO HUU HAPA

UTENZI MWENGINE MKALI UNAOMCHOKOZA RAIS MWINYI ACT WAZALENDO HUU HAPA

HABARI ZA SEMA AFRICA MEDIA  -  DR HUSSEIN MWINYI ATOA MAAGIZO MAZITO KWA MAKATIBU NA MANAIBU KATIBU

HABARI ZA SEMA AFRICA MEDIA - DR HUSSEIN MWINYI ATOA MAAGIZO MAZITO KWA MAKATIBU NA MANAIBU KATIBU

Россияне готовятся к шоку и уходят в кэш.. ЦБ запустил печатный станок || Дмитрий Потапенко*

Россияне готовятся к шоку и уходят в кэш.. ЦБ запустил печатный станок || Дмитрий Потапенко*

TAZAMA ALICHOKISEMA DK. MWINYI KATIKA KHUTUBA YAKE WAKATI AKIZINDUA BARAZA  LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

TAZAMA ALICHOKISEMA DK. MWINYI KATIKA KHUTUBA YAKE WAKATI AKIZINDUA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]