SHEIKH MZIWANDA!KISA CHA MIRAJ NI UZUSHI
Автор: USTADH HUDHEIFA
Загружено: 2026-01-09
Просмотров: 6877
Katika video hii tunachambua kwa kina kisa maarufu cha Israi na Miraj ambacho kimekuwa kikisimuliwa kwa miaka mingi ndani ya Uislamu. Je, kisa hiki kina msingi wa Qur’an au ni simulizi lililoongezwa baadaye?
Tutajadili:
*Aya zinazotajwa kama dalili za Israi na Miraj
*Je, Qur’an inazungumzia safari ya mbinguni kama inavyosimuliwa?
*Tofauti kati ya Qur’an na riwaya za hadithi
*Kwa nini Waislamu wengi wamekubali kisa bila kukipima kwa Qur’an
*Hatari ya kuamini uzushi katika dini
Qur’an inatuamrisha tutumie akili na kufuata wahyi, si kufuata simulizi zisizo na uthibitisho wa wazi.
#israinamiiraj
#uzushikatikadini
#elimuyaquran
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: