Rais Magufuli alivyokutana na bilionea namba 1 Afrika Ikulu Dar es Salaam
Автор: Millard Ayo
Загружено: 2016-12-10
Просмотров: 233408
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 10 Desemba 2016, amekutana na kufanya mazungumzo na Mmiliki wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo Mtwara, Alhaji Aliko Dangote.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: