#BMGTV
Автор: BMG ONLINE TV
Загружено: 2021-11-12
Просмотров: 1317
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeanza uboreshaji wa miundombinu inayopita katika Ziwa Victoria kutoka Wilaya ya Bunda mkoani Mara kwenda Kisiwa cha Nansio Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza. Hatua hiyo imeelezwa kuwa itasaidia kuondoa adha ya umeme kukatika mara kwa mara katika Kisiwa hicho.
BMG Online Media- Pamoja Daima!
Tovuti https://www.bmgblog.co.tz/
Facebook / bmghabari
Twitter / bmghabari
Instagram / bmghabari
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI #PamojaDaimaBMG
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: