Tundu Lissu, Zitto Kabwe Wagusa Panapouma | Washusha Hoja Nzito Mabadiliko Tume ya Taifa Uchaguzi..
Автор: CLOUDSMEDIA
Загружено: 2024-04-12
Просмотров: 191673
Taarifa ya kubadilisha jina la 'Tume ya Taifa ya Uchaguzi' kuwa 'Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi", imepenya kila kona na kila mdau amekuwa na mtazamo wake kwenye mabvadiliko hayo.
Kwenye #powerbreakfast April 12,2024, Huyu hapa Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti CHADEMA na Zitto Kabwe Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: