Rais wa Tanzania Samia Suluhu asema anatetea amani ya nchi yake
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2025-05-24
Просмотров: 85472
Serikali ya marekani sasa inataka uchunguzi kufanywa na wahusika wa mateso ya wanaharakati wa kenya na uganda nchini tanzania kutiwa mbaroni. mkenya boniface mwangi na agather atuhaire wa uganda walikamatwa na kuteswa na maafisa wa usalama nchini tanzania kwa madai ya kumuunga mkono kiongozi wa upinzani nchini humo Tundu Lissu. hata hivyo, rais wa tanzania samia suluhu amesema kuwa ataendelea kuilinda nchi yake dhidi ya kuingiliwa na wageni.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: