Idara ya upelelezi DCI kuichunguza mamlaka ya IPOA
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2025-06-20
Просмотров: 30599
Idara ya upelelezi imeanzisha uchunguzi rasmi kuhusiana na madai ya simu ya OCS Samson Talaam, mshukiwa wa mauji ya mwalimu Albert Ojwang, kutumiwa kuitisha watu pesa ikiwa mikononi mwa maafisa wa mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa polisiI (POA).
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: