AFUNGA NDOA HUKU JENEZA LA MAMA YAKE LIKIWA PEMBENI/NAKUSHANGILIA KWA FURAHA
Автор: Geah Habibu
Загружено: 2020-06-29
Просмотров: 415575
Tukio hili limetokea siku ya Jumamosi ya tarehe 27/6/2020 maeneo ya Kigamboni ambapo jambo hili liliwaacha wengi namshangaa baada ya bwana harusi kufunga ndoa huku kaburi la Mama yake mzazi likiwa pembeni.Inadaiwa Mama huyu alifariki siku ya pili kabla ya ndoa ya mwanae ambapo walikuwa wameenda kwenye sendoff upande wa bibi harusi.Inasemekana baada ya kuingia ukumbuni Mama furaha ilimzidindipo akaanguka ghafla nakupoteza maisha hapohapo.Sasa juzi Jumamosi ndio ilikuwa imepangwa siku ya maharusi kufunga Ndoa,na shughuli za Ndoa ziliendelea kama zilivyopangwa huku jeneza la Mama likiwa pembeni.Tizama mwenyewe ujionee ya Dunia kisha utoe maoni yako
#geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: