Kitabu cha Zaburi - Zaburi 23
Автор: BibleVision Kiswahili - Video za Biblia
Загружено: 2023-10-20
Просмотров: 14957
Kitabu cha Zaburi - Zaburi 23 #zaburi #biblia #bibliakiswahili
Zaburi 23
1 Bwana ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu.
2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza.
3 Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
4 Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.
5 Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika.
6 Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: