Viongozi wa makanisa Kisii wapinga mapendekezo ya Mswada uliowasilishwa katika Bunge la Seneti
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2024-09-24
Просмотров: 1601
Viongozi wa makanisa mbalimbali kaunti ya Kisii ni wa hivi punde kabisa kupinga mapendekezo ya Mswada uliowasilishwa katika Bunge la Seneti kudhibiti makanisa yote nchini. Viongozi hao wanasema hatua hiyo ni moja ya mikakati ya kukandamiza makanisa humu nchini
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: