Dominika ya XXXIV ya Mwaka C:Kristo Mfalme wa Amani,si kwa Silaha bali kwa Msalaba
Автор: RADIO JANGWANI 106.3FM
Загружено: 2025-11-23
Просмотров: 47
Yesu Kristo ni Mfalme wa mbingu na wa ulimwengu wote, ni Mfalme wetu,sio kwa hila au dhuluma, wala kwa kupigiwa kura,wala kwa mapinduzi ya kijeshi, wala kwa kurithi bali kwa asili. Ufalme wake ni ufalme uzidio falme zote na enzi na tawala na usultani na utwa na uchifu na mamlaka.Ni ufalme ulio utimilifu wa ahadi ya Mungu,kilele cha ufalme wa enzi na fahari ya Kiti cha kifalme cha Daudi mtumishi wake.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: