Hotuba ya Othman Masoud, asisitiza Zanzibar haiwezi kuendelea ikiwa chini ya Mkoloni Tanganyika
Автор: Weyani Tv
Загружено: 2023-09-04
Просмотров: 15778
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, akizungumza katika Kikao cha Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo wa ngazi ya Mkoa, Majimbo, Matawi na Ngome zake wa Kisiwa cha Unguja, katika Ukumbi wa Majid Hall Kiembe Samaki Mkoa wa Mjini-Magharib Unguja leo Septemba 03, 2023.
#MiminaZanzibar
#ZanzibarnaMimi
#ZanzibarMpya
#ZanzibarMoja
#MamlakaKamili
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: