DKT. MWIGULU APIGA MARUFUKU VIONGOZI WA MANISPAA KUNYANG’ANYA WAFANYABIASHARA MALI
Автор: KASACO MEDIA (K.T.S)
Загружено: 2025-12-09
Просмотров: 8286
DKT. MWIGULU APIGA MARUFUKU VIONGOZI WA MANISPAA KUNYANG’ANYA WAFANYABIASHARA MALI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa maagizo kwa viongozi wa majiji na halmashauri zote nchini kuhakikisha wafanyabiashara hawanyang’anywi bidhaa zao na badala yake wawaelekeze namna bora ya kufuata taratibu zilizowekwa.
“…Msichukue bidhaa za raia; hizo ndio ofisi za raia wetu, hata kama kuna jambo ambalo anapaswa kuelekezwa kuhusu masuala ya utaratibu basi mshughulikie jambo linalohusu utaratibu, msizuie mitaji ya watu. Utaratibu wa kuchukua bidhaa haukubaliki na hakuna uhalali wa kuchukua bidhaa za raia. Msicheze na mitaji ya watu.”
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉
/ @kasacomedia
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA SWALI AU JAMBO LOLOTE?
⚫️ WASILIANA NA KASAKO MEDIA : ( +255 761984534 )| Kimataifa: +1 317-519-5285
⚫️ Email: [email protected] | [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW
⚫️ Kwa UPDATES zaidi,Subcribe kasako media
⚫️ Youtube / @kasacomedia
Project on the lives of artist and more|
@Kashindi Msambilwa| CEO/FOUNDER
@Sangani Fikiri. | CEO/FOUNDER
@Jerome Bucuma Paul | General Manager
@Richard Wakona | General Manager
@Emmy Joel Mwaipopo | Program Manager
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: