MPINGA KRISTO NI MTU AU PEPO JE ATAZALIWA NCHI GANI?
Автор: MWALIMU ISAYA BENSON
Загружено: 2025-09-27
Просмотров: 5038
ZABURI 119:105
[105]Neno lako ni taa ya miguu yangu,
Na mwanga wa njia yangu.
ZABURI 119:130
[130]Kufafanusha maneno yako kwatia nuru,
Na kumfahamisha mjinga.
YOHANA 15:3
[3]Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia.
Now ye are clean through the word which I have spoken unto you.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: