“Shahada Wakati wa Kufa: Je Inatosha Kuingia Peponi? Qur’an Yaeleza Ukweli”
Автор: USTADH HUDHEIFA
Загружено: 2025-09-09
Просмотров: 226
Je, kweli mtu akitamka shahada tu wakati wa kufa ataingia peponi bila kujali maisha yake? Hadithi fulani zinadai hivyo, lakini Qur’an inafundisha kinyume. Katika video hii tunachambua hoja hiyo tukitazama aya za Qur’an zinazosisitiza kuwa kuingia peponi kunategemea imani ya kweli, matendo mema, na toba kabla ya kifo.
Tazama ufafanuzi huu wa Qur’an ili ujue ukweli na kujiepusha na upotoshaji wa riwaya.
#Quran #Shahada #Islam #ElimuYaQuran #HadithiVsQuran #Uislamu
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: