Makahaba Wanaswa Katika Danguro
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2014-09-21
Просмотров: 2622040
Maafisa wa polisi wamewakamata wanawake 13 kwa kujihusisha na biashara ya ukahaba katika jumba mmoja katika eneo la Adams kwenye barabara ya Ngong kaunti ya Nairobi. Operesheni hiyo iliyoongozwa na maafisa wa polisi wa utawala kutoka Riruta baada ya maafisa hao kupata habari kutoka kwa wanainchi
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: