Namna bendera zilivyopandishwa Ikulu mpya ya Chamwino
Автор: Azam TV
Загружено: 2023-05-20
Просмотров: 39264
Hivi ndivyo bendera ya Taifa, Afrika Mashariki pamoja na ile ya Rais zilivyopandishwa juu kabisa kwenye uso wa jengo jipya la Ikulu mpya ya Chamwino na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu anayeongozwa uzinduzi wa Ikulu hiyo ya Makao Makuu ya nchi, Dodoma.
TUKO LIVE #UTV108 na kwenye mitandao yetu ya kijamii.
#UzinduziIkuluChamwino #IkuluChamwino #Dodoma #IkuluDodoma #IkuluTanzania
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: