Familia Kisii yashangazwa na kurejea kwa binti waliyemzika mwaka jana
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2020-02-10
Просмотров: 416247
Hali ya wasiasi imeghubika Kijiji cha Kiabonyoru, Borabu Nyamira kaskazini hii ni baada ya msichana mwenye umri wa miaka 15 aliyekisiwa kuzikwa zaidi ya mwaka moja uliopita kurejea nyumbani. Ajabu ni kwamba polisi maeneo hayo waliidhinisha kwamba chembechembe za DNA zilionyesha kuwa mwenye alizikwa ndiye maiti halisi.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: