๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐
ะะฒัะพั: Sihotech Engineering
ะะฐะณััะถะตะฝะพ: 2025-04-16
ะัะพัะผะพััะพะฒ: 532
Meneja Mradi wa Sihotech Engineering akifanya mazungumzo na mwanahabari kuhusu maendeleo ya miradi mikubwa tunayotekeleza Jijini Mbeya, ikiwa ni pamoja na Ujenzi wa Kituo Kikuu cha Mabasi Mbeya na Soko la Kisasa la Soko Matola.
Kama Sihotech Engineering, tunajivunia kuchangia katika kubadilisha miundombinu ya jiji la Mbeya na kuleta mabadiliko chanya kwa jamii tukihakikisha ubora na viwango vya juu.
Kwa pamoja, tunaijenga Tanzania ya kisasa na endelevu.
Fuatilia maendeleo ya ujenzi na ujionee jinsi tunavyobadilisha taswira ya Jiji la Mbeya. Usisahau KUSUBSCRIBE ili upate taarifa zaidi kuhusu maendeleo ya mradi huu na miradi mingine mikubwa tunayotekeleza.
ะะพัััะฟะฝัะต ัะพัะผะฐัั ะดะปั ัะบะฐัะธะฒะฐะฝะธั:
ะกะบะฐัะฐัั ะฒะธะดะตะพ mp4
-
ะะฝัะพัะผะฐัะธั ะฟะพ ะทะฐะณััะทะบะต: