Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

SITOWAVUMILIA WATENDAJI WAZEMBE KAZINI – DKT. BASHIRU

Автор: RS MOROGORO

Загружено: 2025-11-27

Просмотров: 2043

Описание:

SITOWAVUMILIA WATENDAJI WAZEMBE KAZINI – DKT. BASHIRU

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. Bashiru Ally, amewataka watumishi wa umma hususan wa Wizara hiyo kuendelea kufanya kazi kwa kuwahudumia wafugaji inavyo paswa bila kuingiza masuala ya rushwa na baala yake wafanye kazi zao kwa uadilifu na ubunifu wa hali ya juu.

Balozi Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo Novemba 26, 2025 wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani Morogoro, ambapo ametembelea maeneo mbalimbali ya wafugaji na viwanda ili kujitambulisha na kujionea hali halisi ya uzalishaji katika sekta hiyo ya Mifugo na Uvuvi huku akiwathadhalisha watumishi wake.

“…Sitavumilia mtendaji wa mifugo mzembe, ambaye si mbunifu na wakati mwingine anayedai rushwa ili atoe huduma…” amesisitiza Dkt. Bashiru Ally.

Amesema, kutofanya kazi kwa ubunifu na kuendeleza tabia za kuda rushwa, wote watakaobainika na kadhia hiyo watachukuliwa hatua kali za kinidhamu na sheria ikiwemo kuwaondoa kazini. Amesisitiza watumishi wa kada hiyo kuendelea kufanya kazi kwa bidii kuwatumikia wafugaji, huku akiwapongeza baadhi ya watendaji wanaotekeleza majukumu yao kwa weledi.

Aidha, Dkt. Bashiru amesema Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeelekeza kuainisha maeneo yote ya ufugaji yenye jumla ya hekta milioni 3.6 ili ifikapo mwaka 2030 tuwe na jumla ya hekta milioni 6 za ardhi ya ufugaji zilizobainishwa, zilizopangwa, zinazolindwa kisheria na zenye huduma zote zinazohitajika.

Sambamba na hayo, Dkt. Bashiru amewataka wafugaji kote nchini kuendelea kuwekeza katika mifugo hususan mbuzi na kondoo kwa kuwa wanyama hao kwa sasa wapo kwenye soko, kwani hadi sasa asilimia 62 ya mauzo yetu nchi za nje ni nyama za mbuzi na kondoo.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Adam Kighoma Malima, amesema wafugaji hasa wa Mkoa wa Morogoro ni lazima waondokane na uchungaji na kuingia kwenye ufugaji wa kisasa na wenye tija kwao na kwa taifa.

Amesema, hapo awali Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero ilikuwa ikichangia milioni 40 katika sekta ya Mifugo na Uvuvi, ambapo kwa sasa sekta hiyo inachangia zaidi ya milioni 400 kutokana na utoaji wa Elimu kwa wafugaji kuhusu ufugaji wenye tija.

Mwisho.

SITOWAVUMILIA WATENDAJI WAZEMBE KAZINI – DKT. BASHIRU

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

BENKI KUU YAFIKISHA TANI 15.37 ZA DHAHABU

BENKI KUU YAFIKISHA TANI 15.37 ZA DHAHABU

TAZAMA WAZIRI  MKUU MWIGULU NCHEMBA ASHTKIZA KWA MAJIRANI ZAKE LEO

TAZAMA WAZIRI MKUU MWIGULU NCHEMBA ASHTKIZA KWA MAJIRANI ZAKE LEO

СТРАШНАЯ АВАРИЯ! Байконур РУХНУЛ — ЭТО КОНЕЦ? Специальный репортаж

СТРАШНАЯ АВАРИЯ! Байконур РУХНУЛ — ЭТО КОНЕЦ? Специальный репортаж

WAKENYA WACHOMA MOTO MAGARI KWENYE UCHAGUZI WA MASENETA/PICHA KAMILI UCHAGUZI WA 2027 HII HAPA

WAKENYA WACHOMA MOTO MAGARI KWENYE UCHAGUZI WA MASENETA/PICHA KAMILI UCHAGUZI WA 2027 HII HAPA

Самые Опасные Дороги в Мире, По Которым Вы Не Захотите Проехать

Самые Опасные Дороги в Мире, По Которым Вы Не Захотите Проехать

ALICHOKIFANYA WAZIRI MKUU MWIGULU KWA MAJIRANI ZAKE

ALICHOKIFANYA WAZIRI MKUU MWIGULU KWA MAJIRANI ZAKE

WAZIRI CHONGOLO ATATUA KERO SOKO MAZAO LA  MAARUFU LA KAT  MAGUVANI MAKAMBAKO

WAZIRI CHONGOLO ATATUA KERO SOKO MAZAO LA MAARUFU LA KAT MAGUVANI MAKAMBAKO

Видео Путина НА КАБЛУКАХ рвет сеть! Первый обзор на ПЫНЕХОДЫ. Это долго от всех СКРЫВАЛИ. Страна 404

Видео Путина НА КАБЛУКАХ рвет сеть! Первый обзор на ПЫНЕХОДЫ. Это долго от всех СКРЫВАЛИ. Страна 404

"UWAZIRI WANGU HAUNA MAANA KAMA HAKUNA MAJI"AWESO ASHTUKIZA MPIJI, AMBANANISHA MENEJA

🤯СРОЧНОЕ обращение к Украине. Путин уже заикается при всех!

🤯СРОЧНОЕ обращение к Украине. Путин уже заикается при всех!

Обычная батарейка ЛОВИТ ВСЕ КАНАЛЫ?! Секрет DIY-антенны, который шокирует! ⚡🔋

Обычная батарейка ЛОВИТ ВСЕ КАНАЛЫ?! Секрет DIY-антенны, который шокирует! ⚡🔋

Как  Узбеки быстро чистят Гранат!!!Узбекистан!!!

Как Узбеки быстро чистят Гранат!!!Узбекистан!!!

5 ежедневных привычек, которые защищают простату после 60 лет

5 ежедневных привычек, которые защищают простату после 60 лет

Видишь эти признаки? Значит дом лучше не покупать.

Видишь эти признаки? Значит дом лучше не покупать.

⚡️ВСЁ! Путин ВЫШЕЛ С РЕШЕНИЕМ по войне! Трамп этого ТАК НЕ ОСТАВИТ. Элиты ПОШЛИ НА ЖУТКОЕ

⚡️ВСЁ! Путин ВЫШЕЛ С РЕШЕНИЕМ по войне! Трамп этого ТАК НЕ ОСТАВИТ. Элиты ПОШЛИ НА ЖУТКОЕ

Жириновский о евреях! Что будет, когда Израиль проиграет? 2004 год

Жириновский о евреях! Что будет, когда Израиль проиграет? 2004 год

"Теперь острее бритвы" Простой лайфхак, который поможет заточить нож для мясорубки за пару минут!

Уникальная немецкая кинохроника штурма Брестской крепости (1941)

Уникальная немецкая кинохроника штурма Брестской крепости (1941)

Городок -

Городок - "По недоразумению"

Илон Маск шокирует — Tesla Tiny House за $7 999 уничтожает ипотеку и меняет будущее жилья!

Илон Маск шокирует — Tesla Tiny House за $7 999 уничтожает ипотеку и меняет будущее жилья!

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]