MZUKA WA MZEE KIMBWEMBWE ALIYEMPA JOGOO MAGUFULI / ATUA KISESA
Автор: Super News TV
Загружено: 2020-10-09
Просмотров: 7028
Kwaniaba ya Wananchi wote wa Somanga - Kilwa - Mkoa wa Lindi Mzee aliyempa zawadi ya Jogoo Rais Mafuli Mzee Kimbwembwe kwa uchungu ameamua kuvunza ratiba zake na kusafiri kutoka Somanga Lindi mpaka Simiyu - Kisesa kwenye Jimbo la Luhaga Mpina ili kuwaomba wanachi wa Kisesa wasifanye makosa katika kuchagua Viongozi. Kutokana na mambo makubwa ambayo Mpina ameyafanya kwenye Wizara ya Mifugo na Uvuvi . Enjoy to watch Super News TV subscribe our Channel for more videos.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: