MORUWASA DIGITAL
Mamlaka ya Majisafi na Usafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) ni Taasisi ya Serikali iliyo chini ya Wizara ya Maji, yenye dhamana ya kutoa huduma ya kusambaza Majisafi na uondoshaji wa Majitaka Katika Manispaa ya Morogoro na Miji ya Kilosa na Mikumi.
RAIS SAMIA ATOA BILIONI 15.3 KUMALIZA KERO YA MAJI KILOSA | ZAIDI YA WAKAZI LAKI MOJA KUNUFAIKA
KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI ENG. MWAJUMA AFUNGUA KUKAO CHA WAKURUGENZI WA MAMLAKA ZA MAJI TANZANIA
MKUNDI MAMBO KUCHELE | MORUWASA YAONGEZA KASI YA MAUNGANISHO MAPYA
WAKAZI WA MKUNDI, KIEGEA, LUKOBE SASA MAJI MAJUMBANI | ZOEZI LA MAUNGANISHO MAPYA LINAENDELEA
MORUWASA YARUDISHA FURAHA KWA WAKAZI WA VISEGESE CHAMINO WAFIKIWA KIKAMILIFU NA HUDUMA YA MAJISAFI
MORUWASA YAFANYA KIKAO NA VIONGOZI WA MITAA ILI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUBORESHA HUDUMA YA MAJI
MABORESHO YA HALI YA UPATIKANAJI WA MAJI, KIHONDA, LUKOBE NA KIEGEA UNAENDELEA KWA KASI
MAKALA MAALUMUI YA MIAKA MINNE YA MAFANIKIO MORUWASA | MIRADI ILIYOKAMILIKA YAWA FARAJA KWA WANANCHI
KWAYA YA MORUWASA YATUMIA NYIMBO KUHAMASISHA MAPAMBANO YA MIVUJO YA MAJI NA MATUMIZI SAHIHI YA MAJI
MORUWASA YAENDELEA KUTAFUTA VYANZO VYA MAJI ILI KUBORESHA HUDUMA KWA WANANCHI WA MOROGORO
MRADI WA MAJI KIEGEA WAZINDULIWA NA MWENGE WA UHURU | ZAIDI YA WAKAZI ELFU 24 WANUFAIKA
WANAFUNZI NA WAKUFUNZI CHUO CHA NDC WATEMBELEA MORUWASA KUBADILISHANA UZOEFU
CBWSO BOMANG'OMBE MOSHI WATEMBELEA MORUWASA KUBADILISHANA UZOEFU
RC CHALAMILA ATEMBELEA BANDA LA SEKTA YA MAJI NANENANE, AMPONGEZA WAZIRI AWESO.
MHE. AWESO APONGEZA SEKTA YA MAJI MOROGORO, ATOA MAELEKEZO YA UBORESHAJI HUDUMA YA MAJI
Kamati ya Siasa (CCM) Wilaya ya Morogoro ilipotembelea Mradi wa Maji Mizani Kihonda na Mkundi
MRADI WA MAJI MIJI 28, MJI WA IFAKARA
MAKALA YA MRADI WA UBORESHAJI HUDUMA YA MAJI BIGWA-BOHMELA
FAHAMU NAMNA YA UNAVYOWEZA KUSOMA DIRA YAKO NYUMBANI.
Mradi wa maji Kihonda, Lukobe, Mkundi watoa fursa ya ajira kwa wananchi zaidi ya 100.
MIFUGO ZAIDI 200 ZAKAMATWA KATIKA HIFADHI YA BWAWA LA MINDU
UBORESHAJI WA HUDUMA YA MAJI KIHONDA
USHUHUDA WA WANANCHI WA MKUNDI JUU YA MRADI WA UBORESHAJI HUDUMA YA MAJI KIHONDA #2023MwakawaKihonda
Wanafunzi wa UDSM kitivo cha Aquatic Science and fisheries wafanya ziara ya mafunzo MORUWASA.
Kuwa mzalendo Linda vyanzo vya maji na miundombinu ya maji, maji ni uhai na hayana mbadala
NAMNA YA KULIPIA ANKARA YA MAJI