Kilimosmartprojects KSP
KSP ni chaneli ya kilimo inatoa mafunzo mbalimbali juu ya kilimo biashara, Mafunzo ya mbolea na sumu za Mmea. Tunatoa elimu kwa wajasiriamali na wakulima mbalimbali namna ya kufanya kilimo bora kwa kutumia teknolojia mpya ya kilimo, miundombinu ya umwagiliaji nk. Pia KSP inatoa huduma za kusimamia miradi mbalimbali ya kilimo kwa njia ya kisasa zaidi, huduma ya kufunga miundombinu ya umwagiliaji nk. Kwa mawasiliano zaidi piga namba +255767406211 . Asante
Instagram: kilimosmartprojects
Facebook: kilimosmartprojects
WhatsApp +255 767 406 211
Phone: +255 767 406 211
JE UNAJUA MMEA UNAHITAJI LITA 2-3 ZA MAJI KWA SIKU?, OFA BABKUBWA KWAAJILI YAKO/DRIP IRRIGATION 🔥
CHANGAMOTO ZA KUEPUKA KATIKA KILIMO ZINGATIA NI MUHIMU SANA KAMA UNAFANYA KILIMO BIASHARA.
MBOLEA ZA YARA NI KIBOKO🔥/MKULIMA AMETOKA KIGOMA KUFATA MBOLEA ZA YARA DSM🙌
UHAKIKA WA MASHAMBA YENYE MAJI / KILIMO CHA #MPUNGA PESA IPO ASEE 🔥🔥🔥
NUSU EKARI NAPATA TENGA 400 ZA NYANYA HAYA NI MANENO YA MKULIMA, SIWEZI KUACHA KULIMA NYANYA.
UNGEKUWA WEWE UNGEMSHAURI NINI HUYU MKULIMA / KWA MBEGU HII YA NYANYA KAZI IPO
HII SEHEMU HAIJAWAI KUWA NA UKAME MWAKA MZIMA, WANALIMA KITUNGUU BALAA🔥🔥🔥
HAYA NDIO MAENEO YENYE VYANZO VYA MAJI KISARAWE, UWEKEZAJI WA KILIMO NI UHAKIKA.
HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA BAADA YA KUMFUNGIA MFUMO WA UMWAGILIAJI SHAMBANI🔥🔥🔥
KUMBE VANILA PESA IPO, LAZIMA NILIME VANILA SIO KWA THAMANI YA ZAO HILI 🔥🔥🔥 #VANILA
HII NI HASARA AU FAIDA UNADHANI ALIKOSEA WAPI???? #BUNJU #DAR ES SALAAM #MICHE IPO BEI POA🔥🔥
Tumekuandalia Miche Bora ya nyanya, Hoho na Pilipili , Unaanza kuvuna baada ya miezi miwili 🔥🔥🔥
TAZAMA UWEZO WA MBEGU HII YA HOHO KATIKA KUZAA, UNAVUNA BAADA YA MWEZI 🔥🔥🔥🔥
Kitunguu kinanipa zaidi ya milioni 15 kwa Ekari kwaiyo ni ajira nzuri nmejiajiri. 🔥🔥🔥
Bawito F1 🔥🔥🔥🔥🔥
Mfumo wa umwagiliaji unaodumu kwa zaidi ya miaka mitano tizama 🔥🔥🔥🔥
Ukiona miche Iko hivi Panda mara moja🔥🔥🔥
NIMEPATA PESA NYINGI KUPITIA KILIMO CHA PAPAI / NAINGIZA MPUNGA MREFU KILA WIKI.
BEI YA NYANYA MWAKA HUU 🔥🔥🔥 MSIMU WA KILIMO UMEANZA CHANGAMKA TUNAKUPATIA MICHE BORA/PIGA 0767406211
MICHE BORA YA NYANYA, MBEGU ZINAZOFANYA VZR UKANDA WA PWANI.
JE UNAJUA MSIMU BORA WA ZAO LA NYANYA,!??
MICHE YA #NYANYA, #PILIPILI (MWENDOKASI), #HOHO (HYBRID) NK. SASA INAPATIKANA DSM.
SASA UNAWEZA KUNUNUA MICHE NA SIO MBEGU TENA, MICHE YA #NYANYA, #HOHO, #PILIPILI NK. TUPO UNUNIO.
HUU NDIO MSIMU BORA WA NYANYA KUWAHI KUTOKEA.... LIMA KIJANJA NA UMWAGILIAJI WA MTONE 🔥🔥🔥
NAMNA RAHISI YA KUFUNGA MFUMO WA UMWAGILIAJI WA MATONE /ANGALIA HADI MWISHO.
KILIMO RAHISI NA CHENYE PESA NYINGI KWA SASA #PILIPILI #HOHO
Tukisema kilimo cha nyanya kinalipa kubali, tazama uwekezaji huo #Kisarawe #Tanzanitefarm.
MKULIMA ATOA SIRI YA KUFANIKIWA KUMBE NI SEHEMU NDOGO SANA TUNAKOSEA.
KAMA UMEWAHI KUTAABIKA NA #MNYAUKO WA NYANYA USIKATE TAMAA TUMIA MBEGU HIZI. #PIGA #0767 406211.