MKONGWE FARMS
Mkongwe Farm ni mahali unapojifunza kila kitu kuhusu ufugaji wa kisasa na kilimo chenye faida.
Hapa utapata:
✅ Mbinu rahisi za kufuga kuku, ng’ombe, mbuzi na wanyama wengine.
✅ Elimu ya magonjwa ya mifugo na tiba zake.
✅ Njia za kuongeza faida kwenye shamba lako.
✅ Uzoefu na mahojiano na wafugaji na wakulima waliofanikiwa.
✅ Motivation na mbinu za kibiashara kupitia kilimo na ufugaji.
🎯 Lengo letu ni kukuza ufugaji wa kisasa Tanzania na Afrika, huku tukikupa maarifa yatakayokuwezesha kutoka hatua ya mwanzo hadi kufanikisha biashara kubwa ya mifugo.
👉 Subscribe sasa ili uwe sehemu ya familia ya Mkongwe Farm na ujifunze njia bora za kufuga kwa faida, kilimo bora na maisha ya kijijini yenye mafanikio.
🔔 Usisahau kubonyeza notification bell ili usipitwe na video mpya kila wiki!
КАК НАЧАТЬ ПРОМЫШЛЕННОЕ ПТИЦЕВОДСТВО | Методы, затраты, выгоды и секреты успеха (2025)
Эффективное лекарство от гриппа, диареи и пневмонии у кур | Правильное применение и ошибки, котор...
Dalili za Coccidiosis kwa Kuku: Jinsi ya Kutambua Mapema na Kuokoa Miaka Yako ya Ufugaji
Jinsi ya Kuchagua Jogoo Bora wa Kuku wa Mbegu 🐓 | Siri ya Jogoo Anayezaa Vizuri na Kuku Wenye Afya
JINSI YA KUMTAMBUA TETEA BORA WA KUKU WA KIENYEJI | KUKU WANAOTAGA MAYAI MENGI
Mbinu ya Kisayans ya Kuku wa Kienyeji Kuangua Vifaranga Kwa Pamoja/Siri Wanayoficha Wafugaji Wakubwa
Siri ya Vyombo Sahihi vya Chakula vya Kuku – Wafugaji Wengi Wanapoteza Pesa Bila Kujua!”
Kabla ya Kutibu Kuku, Hakikisha Umezingatia Haya! | Viuavijasumu, Usafi wa Banda na Mazingira Bora
JINSI YA KUZUIA MAGONJWA YA KUKU: Kinga Dhidi ya Vimelea | Fuga Kisasa Ufaidike
Faida Kubwa ya Kufuga Sasso F2 na F3 | Njia Rahisi ya Kukuza Kila Siku
Faida ya Milioni kwa Mwezi kwa Mtaji wa Kuku 25 Tu | Ufugaji wa Kuku wa Kisasa. kienyeji chicken
Jinsi ya Kutengeneza Banda la Kuku la Gharama Nafuu
Ufugaji wa Kuku Kidogo Rahisi | Banda Rahisi & Mifuko. Kienyeji chicken farming