Irene kamugisha
Naitwa Irene Kamugisha, rafiki yako wa faida, mtandaoni!
Karibu sana kwenye Channel hii, hujakosea kupita hapa! Hili ni jukwaa la fikra Chanya kupitia vipindi vya FixYou! Ni darasa huru kabisa kwa kila mtu anayependa kuwa mwanafunzi wa maisha!
Ninazungumzia mada mbali mbali hususani: ✅mahusiano na ndoa
✅Malezi
✅Fedha na uchumi binafsi
✅Story za kweli za maisha.
Nifanye kuwa rafiki yako wa faida kwa ku Subscribe kama bado, kama tayari ahsante sana na karibu katika #FixYou!
Nitumie story [email protected] ili tuweze kufanya kipindi pamoja!!
And Yes FixYou ilikua SnS na Sasa ipo hapa!
FixYou:MATATIZO YA HORMONE//MADHARA YA KUJICHUA//UKE MKAVU//NGUVU ZA KIUME NA DR.KENNEDY LUVANDA
FixYou: MADHARA YA ULAJI MBOVU//CHANGAMOTO YA ACID REFLUX Na Dr Kennedy Luvanda
FixYou: "Huwezi kuwa tajiri kama hujui sehemu ya kuwekeza pesa zako." Dr. Raymond Mgeni
FixYou: SINGLE MOTHERS!! ACHENI MAKASIRIKO KWA WANAUME, NA HII NDIO SABABU.......Na Rehema Rwegasira
FixYou: "Mwanaume hapendi mwanamke MASKINI." Director Onesmo
FixYou: "NILIOLEWA NA MTU MZIMA SANA, SABABU NILIKUA NAMTAFUTA BABA NDANI YAKE." NA DOREEN NYAMKA
FixYou: Kanuni za kutengeneza utajiri wa KUDUMU Na Rehema Kyando
FixYou: Changamoto za malezi ya watoto wenye mahitaji maalum(special needs) Na Esther John Guna
FixYou: MUKTADHA WA KIDINI JUU YA NDOA ZA MITALA!! Na Mwl Fatma Mdidi
'Nilimpigia mchepuko wa mume, akasema anajua kwamba mume wangu ana familia."---Mdau
FixYou: Attachment Versus Love, Na Rehema Rwegasira
FixYou: Mbinu za kugundua kipaji chako, kukikuza na kukifanya KIKULIPE. Na Kelvin Kibenje
"Mume wangu alinifukuza kwa dharau sana, hakudhani kama ningefanikiwa." ----Story
FixYou: Personal Development(Maendeleo Binafsi) na Malezi! Na Lightness Makondo
FixYou: Mambo usiyoyajua kuhusu kustaafu Na Charles Ligonja
FixYou: "Mwanaume usiingie kwenye ndoa kama huna kipato." Na Kalungu Charles
FixYou: Elimu ya HISIA: kwanini unazo? Maana yake nini? Na Jacqueline Balige
FixYou: Maswali na majibu Na Irene Kamugisha
FixYou: Nilikuta mwili wa mume wangu unaelea, sikujua alikua tayari kafariki." Na Irene Kamugisha
FixYou: "Niliwahi kugonganisha wasichana watatu nyumbani, sikupenda." Na Mike Tee
FixYou: Sababu zinazopelekea ndoa kuvunjika. Na Divine Jackson
FixYou: "Uchungu wa kufiwa na baba yangu, ilibaki kidogo uniondoe." Na Leticia Buberwa
FixYou: Mambo usiyopaswa kusahau kisa umeingia kwenye ndoa. Na Zainab Lukuta
FixYou: "Wasomi ndiyo wahanga wakubwa zaidi kwa kukosa elimu ya fedha" Na Jacqueline Temu
FixYou: " Ex wangu alinipiga tukio mpaka nililazwa." Na Loveness Mgonja
FixYou: "Niliambiwa ubongo wa mtoto wangu hauwezi kukua zaidi ya asilimia 50." Na Cecylia Meshy
FIXYOU: " Baba alikua ni mtu wa wanawake, hiki kitu kilinifanya kuchukia wanaume." Na Hellen Kelvin
FixYou: "Mke wangu alifariki na kuacha mtoto wa miezi mitatu"-- Na Innocent Aniceth
FixYou: Makosa wanayofanya wanawake wenye kipato kikubwa kwenye mahusiano. #Fixyou Na Deo Sukambi
FixYou: Changamoto za ndoa zilivyopelekea mwanangu kuwa "Tomboy", #Truestory Na Rehema Rwegasira.