Ndc Online Media
NDC Online Media ni chombo cha habari cha mtandaoni kinachojivunia uwezo wa kutoa taarifa bora kwa kuzingatia misingi ya taaluma ya habari, maadili na sheria.
Tumejipanga kuandaa, kuchapisha, na kusambaza maudhui mbalimbali ikiwemo taarifa za kijamii, kisiasa, kiuchumi na za kijamii tukizingatia misingi ya taaluma ya habari, maadili na sheria za vyombo vya habari.
Taarifa tunazochapisha ni zile zilizo chakatwa, zilizo hakikiwa, na tunahakikisha kuwa zinazingatia ukweli ulio thibitishwa, tukilenga kutoa taarifa za manufaa na mabadiliko kwa jamii.
Tunajivunia uwezo wa kutoa mwelekeo sahihi wa mabadiliko kupitia uwazi wa habari, kila taarifa tunayoisambaza inakidhi viwango vya ubora kuleta athari ya moja kwa moja katika maendeleo ya taifa na jamii kwa ujumla.
Kwa maelezo zaidi na kushirikiana nasi, tafadhali wasiliana nasi kupitia:
Email: [email protected]
Simu: 0672573061
WALICHO KISEMA SHINYANGA KUHUSU RAIS SAMIA
BREAKING NEWS: MAKONDA ATAJWA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
ZIARA YA KUSHTUKIZA YA WAZIRI MKUU
POLISI MOROGORO WAVUNJA UKIMYA WANAOJIPANGA KWA MAANDAMANO
SAKATA LA JEZI FEKI: AHMED ALLY AIBUKIA MOROGORO
BENDERA YENYE PICHA YA RAIS YAPANDISHWA MLIMA KILIMANJARO
NGUVU MOJA, TANZANIA MOJA
WANACHAMA 364 WATIMIKIA CCM
RPC MORO AELEZA MAPYA KUHUSU AJALI
AJALI MBAYA MORO
NGUMI SMART YA MANDONGA ILIVYO MCHAKAZA GWADA
DC-SAME: TAMBUENI MAUKUMU YA ESHI
MBALONI KWA KUMTATLI MTOTO WAKE WA KUMZAA
DIWANI MIKESE KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI
TALE TALE JIMBONI: ATANGAZA KAULIMBIU MPYA AKIUTAKA UBUNGE AWAMU YA PILI
MBWEMBWE ZA DC WA MALINYI AKIWAELEZEA ASKARI WA JESHI LA AKIBA
MOROGORO NA MPANGO WA KUONGEZA TIJA KWENYE UZALISHAJI WA MAZIWA
VIWANDA, AJIRA NA MAENDELEO: AHADI KUBWA YA DKT. SAMIA KWA MOROGORO
SIRI YA MTOTO MWEREVU: UNAJUA NINI KUHUSU MALEZI CHANGAMSHI?
KUTOKA KONDOA MPAKA TFS MOROGORO
MIPANGO WA CHAUMA,WAUTAKA URAIS
MTUMBATU: WANACHAMA CCM WAIBUA SHANGWE WAKIMPELEKA MGOMBEA WAO KUCHUKUA FOMU
SERA YA UBWABWA ILIVYO WAGUSA VIJANA WA CHAUMA
TAIFA STARS MAWINDONI, MASHABIKI WATOA YA MOYONI
YATAKAYO FANYIKA NANENANE KANDA YA MASHARIKI MSIMU HUU
TEHAMA IMESAIDIA; MWALIMU UNAZALILIKA
MUONEKANO MPYA WA TWAHA KIDUKU KWENYE KNOCK OUT YA MAMA.
BAA LA NJAA SAME!: KIJIJI KILICHOATHIRIWA NA MAFURIKO, WAMTUPIA LAWAMA MWENYEKITI KUWATENGA.
SAME: MADAI YA KUTISHIA KUUA MWENYEKITI WA KIJIJI AFIKISHWA MAHAKAMANI.