Wafanyabiashara Wafunguka: Milioni 700 Zilichukuliwa |Sheria Za Ukoloni Zinatumika Kwenye Utalii
Автор: The Chanzo
Загружено: 2024-02-28
Просмотров: 3495
Katika kupanua wigo wa kupata maoni ya wadau, Wizara ya Fedha ilianzisha Jukwaa la Kodi Kitaifa (National Tax Forum) mwaka 2023, ambalo kwa mara ya kwanza lilifanyika tarehe 11 Januari 2023, Jijini Dar es Salaam, ambalo maoni yaliyopokelewa yalitumika katika maandalizi ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2023/24 inayotekelezwa hivi sasa.
Kwa mwaka huu Jukwaa la Kodi na Uwekezaji limefanyika mnamo Februari 27 na 28, 2024 katika ukumbi wa JNICC Dar es Salaam.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: