WAZIRI WA NISHATI NDEJEMBI AZINDUA RASMI MITA JANJA
Автор: Nipashe Digital
Загружено: 2025-12-05
Просмотров: 4
Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya manunuzi ya umeme moja kwa moja ikiwa ni mageuzi makubwa ya teknolojia yanayofanywa na TANESCO katika kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma kwa wateja.
Waziri wa Nishati amezindua Mita janja hizo Disemba 05, 2025 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, wadau wa sekta ya nishati na watendaji wa TANESCO.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: