WAZIRI DOROTHY GWAJIMA AZUNGUMZA MBELE YA WAJASIRIAMALI, "NAWAPONGEZA GS1 "
Автор: Global TV Online
Загружено: 2023-06-18
Просмотров: 412
TANZANIA ni moja kati ya nchi 21 barani Afrika ambazo ni mwanachama katika Shirika la GS1 GLOBAL na zimepatiwa leseni yake.
Wanachama wengine ambao wamepewa leseni hiyo ni Algeria, Misri, Ivory Coast, Kenya, Libya, Mauritius, Morocco, Nigeria, Senegal na Afrika Kusini.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima wakati uzinduzi wa kitaifa wa GS1 Tanzania National Barcode day kwa Wanaviwanda watumiaji wa Msimbomilia (Barcodes), QR-Code na Traceability System katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam Juni 17, 2023. Amesema kutokana na changamoto za kukosa Msimbomilia serikali ina nia thabiti ya kusaidia jumuiya ya wafanyabiashara na sekta binafsi kwa kusimamia na kushiriki katika mchakato wa kuanzishwa kwa taasisi itakayosimamia kisheria utoaji wa huduma za Msimbomilia na Ufuatiliki katika bidhaa zinazozalishwa nchini na nje ya nchi.
Amesema kuwa GS1 Tanzania inatoa alama za utambuzi wa bidhaa za wajasiriamali wadogo wakati na wakubwa ili kusaidia kutafuta wateja kutoka nchi mwanachama na kupanua wigo kujiongezea wateja.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: