Dkt. Dorothy Gwajima: Mabadiliko chanya katika jamii yanakuja kwa kueleweshana
Автор: Habari za UN
Загружено: 2025-03-17
Просмотров: 195
#HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu nchini Tanzania, Dkt. Dorothy Gwajima, ni mmoja wa wanaohudhuria mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake, CSW69 hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Anold Kayanda wa Idhaa hii amezungumza naye na miongoni mwa mambo mengi amemuuliza ni kwa nini pamoja na ongezeko na idadi ya wanawake katika ngazi za uamuzi nchini Tanzania lakini bado kuna changamoto nyingi zinazoukabili usawa wa kijinsia nchini humo?
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: