SIO AGIZO LA MUNGU KUSHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA "( BIRTHDAY)".
Автор: KANISA TAKATIFU LA YESU KRISTO-CHAMAZI
Загружено: 2023-07-09
Просмотров: 2128
Luka 15:10
"Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye. "
tunapaswa kumshukuru Mungu Kanisani Kwa kutoa hata sadaka,na sio Kufanya sherehe ni makosa mbele za Mungu Bali wewe furahia siku Ile ulipotubu na kumpokea Yesu Kristo Kwa maana siku "ULIPOOKOKA"
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: