Gen Z wa Tanzania wataka wananchi kuungana kuwa kitu kimoja,Twaha Mwaipaja ashusha Nondo za moto
Автор: TANZANIA Genz Tv
Загружено: 2025-12-15
Просмотров: 904
Gen Z wa Tanzania wataka wananchi kuungana kuwa kitu kimoja wauliza " Je ilikuwa haki ya wananchi kuuliwa kisa kuandamana na kudai haki zao za kikatiba wataka Uvccm na Ccm kujibu kwa hoja na sio Utekaji na Matusi
#DayonMonson Amhoji #Twahamwaipaja
Waongelea Kushtakiwa kwa #mangekimambi_ #mangekimambi
Waongelea Utekaji ,mauaji kabla na baada ya oktoba 29 Askari aliyechezika nakuongelea mauaji
Waongelea Msemaji wa serikali Msigwa #msigwa
Waongelea video vya Mv Bukoba #MvBukoba
Waongelea yaliyotokea Oktoba 29/December 9 #oktoba29 kuuliwa kwa mtangazaji wa #cloudsmedia
Waongelea wasanii na kutokuwasapoti kazi zao #bongofleva #bongomovies #tanzaniacomedy
Propaganda zisizosema ukweli juu ya Tanzania
Nchi za magharibi kutosapoti serikali ya Tanzania
Waongelea Polisi aliyeuliwa Arusha
WEWE KAMA NI MZALENDO NA UNAIPENDA KWELI TANZANIA SIKILIZA Hii mpaka mwisho na ufanye kusubscribe
SUBSCRIBE KAMA WEWE NI MZALENDO WA KWELi
I#genz #tanzania #tiktok #tiktoktanzania #mdude #humphreypolepole #alikibao #chadema #johnheche #bbcswahili #kenya #voiceofthepeople #voiceofafrica
• Gen Z wa Tanzania kikaoni TikTok na Dayon ...
• Dayon monson aingia live TikTok na Genz wa...
• Gen Z wa Tanzania kikaoni TikTok na Dayon ...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: