Kiambu yakanusha madai ya vifo vya kina mama na watoto wachanga kutokana mgomo wa madaktari
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2025-10-08
Просмотров: 3019
Kaunti ya Kiambu imekana madai kwamba kina mama na watoto wachanga wanapoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari unaoendelea. Kauli hii ya kaunti ya Kiambu ikijiri huku baadhi ya kina mama waliodai kuwapoteza watoto wakizungumzia masaibu yao
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: