NYALALI ALIBADILI MAHAKAMA KUTOKA KUWA IDARA YA SERIKALI HADI MHIMILI
Автор: Mwananchi Digital
Загружено: 2019-04-03
Просмотров: 617
Familia, marafiki na viongozi wastaafu wa aliyekuwa Jaji Mkuu wa Tanzania, Francis Nyalali wamekutana Aprili 04 jijini Dar es Salaam, kwenye kumbukizi ya maisha ya Jaji huyo kwa ajili ya kujadili mchango wake katika Taifa ambapo wamebaini jinsi kiongozi huyo alivyoibadilisha Mahakama kutoka kuwa Idara ya Serikali na kuwa mhimili unaojitegemea.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: